Hesabu 3:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na mkuu wa wakuu wa wana wa Lawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, aliyekuwa mwangalizi wa wale waliokuwa wakitimiza wajibu wa mahali patakatifu. Hesabu 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nawe umvue Haruni mavazi yake,+ nawe utamvika Eleazari+ mwana wake mavazi hayo; naye Haruni atakusanywa, naye atakufa huko.”+
32 Na mkuu wa wakuu wa wana wa Lawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, aliyekuwa mwangalizi wa wale waliokuwa wakitimiza wajibu wa mahali patakatifu.
26 Nawe umvue Haruni mavazi yake,+ nawe utamvika Eleazari+ mwana wake mavazi hayo; naye Haruni atakusanywa, naye atakufa huko.”+