Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nao wataweka kifuniko cha ngozi za sili+ juu yake na kutandaza kitambaa kizima cha uzi wa bluu juu na kutia miti yake.+

  • Hesabu 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Naye Haruni na wanawe watamaliza kufunika mahali patakatifu+ na vyombo+ vyote vya mahali patakatifu wakati kambi inapoondoka, kisha wana wa Kohathi watakuja ili kuvichukua,+ lakini hawapaswi kugusa+ mahali patakatifu wasije wakafa. Vitu hivyo ni mzigo wa wana wa Kohathi katika hema la mkutano.+

  • Hesabu 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao hawapaswi kuingia ndani ili kuviona vitu vitakatifu hata kwa kitambo kidogo, na iwe lazima wafe.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo hasira ya Yehova ikamwakia Uza, hivi kwamba akampiga kwa sababu alikuwa ameunyoosha mkono wake juu ya lile Sanduku,+ naye akafa hapo mbele za Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki