Isaya 42:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+ 1 Wakorintho 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 ili mwili wowote usijisifu+ machoni pa Mungu.
8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+