Kumbukumbu la Torati 32:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisasi ni changu, na malipo.+Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+ Zaburi 94:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 94 Ee Mungu wa matendo ya kisasi, Yehova,+Ee Mungu wa matendo ya kisasi, uangaze!+ Nahumu 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+ Waroma 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+ Waebrania 10:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+
35 Kisasi ni changu, na malipo.+Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+
2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+
19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+
30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+