Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Kwa hiyo njia yao itakuwa kwao kama mahali penye utelezi+ gizani, ambapo watasukumwa ndani yake na hakika waanguke.”+

      “Kwa maana nitaleta msiba juu yao, mwaka wa kuwakazia fikira,”+ asema Yehova.

  • Yeremia 48:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 ‘Yeyote anayekimbia kwa sababu ya hofu ataanguka ndani ya shimo; na yeyote anayetoka ndani ya shimo atakamatwa katika mtego.’+

      “‘Kwa maana nitaleta juu yake, juu ya Moabu, mwaka wa kuwakazia fikira,’+ asema Yehova.

  • Yeremia 51:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 “Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitakaza fikira zangu juu ya sanamu zake za kuchongwa,+ na katika nchi yake yote aliyechomwa ataugua.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki