-
Yeremia 48:44Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
44 ‘Yeyote anayekimbia hofu ataanguka shimoni,
Na yeyote anayetoka shimoni atanaswa na mtego.’
‘Kwa maana nitawaletea watu wa Moabu mwaka wao wa adhabu,’ asema Yehova.
-