Yeremia 48:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 ‘Yeyote anayekimbia kwa sababu ya hofu ataanguka ndani ya shimo; na yeyote anayetoka ndani ya shimo atakamatwa katika mtego.’+ “‘Kwa maana nitaleta juu yake, juu ya Moabu, mwaka wa kuwakazia fikira,’+ asema Yehova.
44 ‘Yeyote anayekimbia kwa sababu ya hofu ataanguka ndani ya shimo; na yeyote anayetoka ndani ya shimo atakamatwa katika mtego.’+ “‘Kwa maana nitaleta juu yake, juu ya Moabu, mwaka wa kuwakazia fikira,’+ asema Yehova.