Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na itatukia kwamba yule atakayepona upanga+ wa Hazaeli, Yehu atamuua;+ na yule atakayepona upanga wa Yehu, Elisha atamuua.+

  • 1 Wafalme 20:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na wale waliobaki wakakimbia mpaka Afeki,+ katika jiji; na ukuta ukaanguka juu ya watu 27,000 waliokuwa wamebaki.+ Naye Ben-hadadi akakimbia,+ mwishowe akafika jijini, akaingia katika chumba cha ndani kabisa.+

  • Amosi 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na mahali pa kukimbilia pataangamia kutoka kwa yule aliye mwepesi,+ wala hakuna yeyote mwenye nguvu atakayeimarisha nguvu zake, wala hakuna mwanamume yeyote mwenye nguvu ambaye ataiponya nafsi yake.+

  • Amosi 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 kama vile tu mtu anavyomkimbia simba, kisha dubu anakutana naye; na kama vile alivyoingia ndani ya nyumba akauegemeza mkono wake ukutani, naye nyoka akamuuma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki