30 Na wale waliobaki wakakimbia mpaka Afeki,+ katika jiji; na ukuta ukaanguka juu ya watu 27,000 waliokuwa wamebaki.+ Naye Ben-hadadi akakimbia,+ mwishowe akafika jijini, akaingia katika chumba cha ndani kabisa.+
14 Na mahali pa kukimbilia pataangamia kutoka kwa yule aliye mwepesi,+ wala hakuna yeyote mwenye nguvu atakayeimarisha nguvu zake, wala hakuna mwanamume yeyote mwenye nguvu ambaye ataiponya nafsi yake.+
19 kama vile tu mtu anavyomkimbia simba, kisha dubu anakutana naye; na kama vile alivyoingia ndani ya nyumba akauegemeza mkono wake ukutani, naye nyoka akamuuma.+