Zaburi 39:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Ee Yehova, nijulishe mwisho wangu,+Na kipimo cha siku zangu—ni kipimo gani,+Ili nipate kujua kadiri nilivyo wa muda mfupi.+ Luka 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+
4 “Ee Yehova, nijulishe mwisho wangu,+Na kipimo cha siku zangu—ni kipimo gani,+Ili nipate kujua kadiri nilivyo wa muda mfupi.+
20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+