Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa kweli mtu hutembea huku na huku kama kivuli tu.+

      Kwa kweli wana msukosuko ambao ni ubatili.+

      Mmoja anarundika vitu wala hajui ni nani atakayevikusanya.+

  • Zaburi 52:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Huyo ndiye mwanamume ambaye hamweki Mungu kuwa ngome yake,+

      Lakini anategemea wingi wa utajiri wake,+

      Ambaye hulindwa kutokana na shida anazoleta.+

  • Yeremia 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri, lakini si kwa haki.+ Katikati ya siku zake atauacha,+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili.”+

  • Yakobo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki