Methali 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao waovu, watakatiliwa mbali kutoka duniani;+ nao wenye hila, watang’olewa kutoka ndani yake.+ Isaya 66:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana, kama moto, Yehova atabishana na wote wenye mwili, ndiyo, akiwa na upanga wake;+ na waliouawa wa Yehova hakika watakuwa wengi.+ Amosi 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa upanga watakufa—watenda-dhambi wote katika watu wangu,+ wale wanaosema: “Taabu hiyo haitakuja karibu wala kutufikia sisi.” ’+
16 Kwa maana, kama moto, Yehova atabishana na wote wenye mwili, ndiyo, akiwa na upanga wake;+ na waliouawa wa Yehova hakika watakuwa wengi.+
10 Kwa upanga watakufa—watenda-dhambi wote katika watu wangu,+ wale wanaosema: “Taabu hiyo haitakuja karibu wala kutufikia sisi.” ’+