12 kwa sababu hawakuisikiliza+ sauti ya Yehova Mungu wao, bali waliendelea kuvunja agano lake,+ naam, yote ambayo Musa+ mtumishi wa Yehova aliamuru.+ Hawakusikiliza wala kutenda.
38 Nami nitasafishia mbali kutoka kwenu wale wanaoasi na wale wanaonikosea,+ kwa maana kutoka katika nchi ya makao yao ya kigeni nitawaleta, lakini hawatakuja kwenye udongo wa Israeli;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+