Ezekieli 20:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini nitawaondoa waasi kati yenu na wale wanaonitendea dhambi.+ Kwa maana nitawatoa katika nchi wanayokaa wakiwa wageni, lakini hawataingia katika nchi ya Israeli;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:38 Ibada Safi, uku. 107
38 Lakini nitawaondoa waasi kati yenu na wale wanaonitendea dhambi.+ Kwa maana nitawatoa katika nchi wanayokaa wakiwa wageni, lakini hawataingia katika nchi ya Israeli;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’