Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kama yale mataifa ambayo Yehova anaangamiza kutoka mbele yenu, hivyo ndivyo mtakavyoangamia, kwa sababu ninyi hamtaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu.+

  • 1 Wafalme 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kwa kweli Yehova atawapiga Israeli, kama vile tu tete linavyoyumba-yumba majini;+ naye atawang’oa+ Israeli kutoka katika nchi hii nzuri+ aliyowapa mababu zao, naye atawatawanya+ ng’ambo ya ule Mto,+ kwa sababu walitengeneza miti yao mitakatifu,+ na hivyo kumtia uchungu+ Yehova.

  • 2 Wafalme 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na ikawa kwamba kwa sababu wana wa Israeli walimtendea dhambi+ Yehova, Mungu wao, aliyewapandisha kutoka katika nchi ya Misri kutoka chini ya mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ nao wakaanza kuogopa miungu mingine;+

  • Nehemia 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo wakakataa kusikiliza,+ wala hawakuyakumbuka+ matendo yako ya ajabu ambayo ulikuwa umewafanyia, bali wakafanya shingo zao kuwa ngumu+ na kujichagulia mkuu+ ili kurudi kwenye hali yao ya utumwa katika Misri. Lakini wewe ni Mungu wa matendo ya kusamehe,+ mwenye neema+ na rehema,+ si mwepesi wa hasira+ na ni mwingi+ wa fadhili zenye upendo, nawe hukuwaacha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki