9 Urithi+ wangu kwangu ni kama ndege mwenye kuwinda wa rangi nyingi;+ ndege wenye kuwinda wamezunguka pande zote juu yake. Njooni, kusanyikeni pamoja, ninyi nyote wanyama wa mwituni; waleteni ili wale.+
7 Kaa kimya mbele za Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova;+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu,+ kwa maana Yehova ametayarisha dhabihu;+ amewatakasa+ watu wake walioalikwa.