20 ndiyo, nitawatia mkononi mwa adui zao na mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao;+ na maiti zao zitakuwa chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa dunia.+
4 Nami nitakuacha juu ya nchi. Nitakutupa juu ya uso wa shamba.+ Nami nitavifanya viumbe vyote vinavyoruka vya mbinguni vikae juu yako, nami nitawashibisha wanyama-mwitu wa dunia nzima kutokana nawe.+
4 Utaanguka juu ya milima ya Israeli,+ wewe na vikosi vyako vyote na vikundi vya watu vitakavyokuwa pamoja nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wenye kuwinda, na ndege wa kila namna ya bawa, na wanyama wa mwituni.” ’+
18 ili mpate kula sehemu zenye nyama za wafalme na sehemu zenye nyama+ za viongozi wa kijeshi na sehemu zenye nyama za watu wenye nguvu+ na sehemu zenye nyama za farasi+ na za wale wanaoketi juu yao, na sehemu zenye nyama za wote, za watu huru na vilevile za watumwa na za wadogo na wakubwa.”