Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Na huyo Mfilisti akaendelea kumwambia Daudi: “Wewe nikaribie tu, nyama yako nitawapa ndege wa mbinguni na wanyama wa mwituni.”+

  • Yeremia 7:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na maiti za watu hawa zitakuwa chakula cha viumbe vinavyoruka vya mbinguni na cha wanyama wa dunia, pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+

  • Yeremia 34:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ndiyo, nitawatia mkononi mwa adui zao na mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao;+ na maiti zao zitakuwa chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa dunia.+

  • Ezekieli 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nitakuacha juu ya nchi. Nitakutupa juu ya uso wa shamba.+ Nami nitavifanya viumbe vyote vinavyoruka vya mbinguni vikae juu yako, nami nitawashibisha wanyama-mwitu wa dunia nzima kutokana nawe.+

  • Ezekieli 39:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Utaanguka juu ya milima ya Israeli,+ wewe na vikosi vyako vyote na vikundi vya watu vitakavyokuwa pamoja nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wenye kuwinda, na ndege wa kila namna ya bawa, na wanyama wa mwituni.” ’+

  • Ufunuo 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili mpate kula sehemu zenye nyama za wafalme na sehemu zenye nyama+ za viongozi wa kijeshi na sehemu zenye nyama za watu wenye nguvu+ na sehemu zenye nyama za farasi+ na za wale wanaoketi juu yao, na sehemu zenye nyama za wote, za watu huru na vilevile za watumwa na za wadogo na wakubwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki