Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na maiti yako itakuwa chakula kwa ajili ya kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kwa mnyama wa porini, pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+

  • Zaburi 79:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wamewapa ndege wa mbinguni maiti ya watumishi wako iwe chakula chao,+

      Na nyama ya washikamanifu wako kwa wanyama-mwitu wa dunia.+

  • Yeremia 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Urithi+ wangu kwangu ni kama ndege mwenye kuwinda wa rangi nyingi;+ ndege wenye kuwinda wamezunguka pande zote juu yake. Njooni, kusanyikeni pamoja, ninyi nyote wanyama wa mwituni; waleteni ili wale.+

  • Yeremia 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ‘Watakufa vifo vya magonjwa.+ Hawataombolezewa,+ wala hawatazikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi;+ nao watamalizwa kwa upanga na kwa njaa,+ na maiti zao kwa kweli zitakuwa chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa duniani.’+

  • Yeremia 34:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ndiyo, nitawatia mkononi mwa adui zao na mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao;+ na maiti zao zitakuwa chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki