Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 83:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Waliangamizwa huko En-dori;+

      Wakawa mbolea kwa ajili ya udongo.+

  • Isaya 5:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ndiyo sababu hasira ya Yehova imewaka juu ya watu wake, naye atanyoosha mkono wake juu yao na kuwapiga.+ Na milima itatetemeka,+ na maiti zao zitakuwa kama takataka katikati ya barabara.+

      Kwa sababu ya hayo yote hasira yake haijarudi nyuma, bali mkono wake bado umenyooshwa.

  • Yeremia 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao kwa kweli wataitandaza mbele ya jua na mbele ya mwezi na mbele ya jeshi lote la mbingu ambalo wamelipenda na ambalo wamelitumikia na ambalo wamelifuata+ na ambalo wamelitafuta na ambalo wameliinamia.+ Haitakusanywa, wala haitazikwa. Itakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.”+

  • Yeremia 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Sema, ‘Yehova asema hivi: “Maiti za wanadamu zitaanguka kama mbolea juu ya uso wa uwanja na kama mafungu ya nafaka iliyokatwa hivi karibuni nyuma ya mvunaji, bila yeyote wa kukusanya.”’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki