2 Wafalme 9:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na maiti ya Yezebeli itakuwa kama mbolea+ juu ya uso wa shamba katika sehemu ya shamba la Yezreeli, ili wasiseme: “Huyu ni Yezebeli.”’”+ Sefania 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nitawataabisha wanadamu, nao watatembea kama vipofu;+ kwa sababu wamemtendea Yehova dhambi.+ Na damu yao itamwagwa kama mavumbi,+ na matumbo yao kama mavi.+
37 Na maiti ya Yezebeli itakuwa kama mbolea+ juu ya uso wa shamba katika sehemu ya shamba la Yezreeli, ili wasiseme: “Huyu ni Yezebeli.”’”+
17 Nami nitawataabisha wanadamu, nao watatembea kama vipofu;+ kwa sababu wamemtendea Yehova dhambi.+ Na damu yao itamwagwa kama mavumbi,+ na matumbo yao kama mavi.+