Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye akawaondoa kazini makuhani wa miungu ya kigeni, ambao wafalme wa Yuda walikuwa wameweka ili wapate kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu katika majiji ya Yuda na ujirani wa Yerusalemu, na pia wale wanaofukiza moshi wa dhabihu kwa Baali,+ kwa jua na kwa mwezi na kwa makundi-nyota ya unajimu na kwa jeshi lote la mbinguni.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo akajenga tena mahali pa juu+ ambapo Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akasimamisha madhabahu+ kwa Mabaali+ na kutengeneza miti mitakatifu,+ naye akaanza kuliinamia+ jeshi lote la mbinguni+ na kulitumikia.+

  • Ezekieli 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo akanileta katika ua wa ndani wa nyumba ya Yehova,+ na, tazama! kwenye mwingilio wa hekalu la Yehova, katikati ya ukumbi na madhabahu,+ kulikuwa na wanaume 25+ hivi migongo yao ikielekea hekalu la Yehova+ na nyuso zao zikielekea mashariki, nao walikuwa wameelekea mashariki, wakiliinamia jua.+

  • Matendo 7:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kwa hiyo Mungu akageuka na kuwakabidhi+ watoe utumishi mtakatifu kwa jeshi la mbinguni, kama vile ambavyo imeandikwa katika kitabu cha manabii,+ ‘Je, mimi ndiye mliyetolea wanyama na dhabihu nyikani kwa miaka 40, Ee nyumba ya Israeli?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki