Yeremia 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Sema, ‘Yehova anasema hivi: “Maiti za watu zitaanguka kama mbolea juu ya ardhi shambani,Kama safu ya miganda ya nafaka iliyotoka kukatwa na mvunaji,Bila mtu wa kuikusanya.”’”+
22 Sema, ‘Yehova anasema hivi: “Maiti za watu zitaanguka kama mbolea juu ya ardhi shambani,Kama safu ya miganda ya nafaka iliyotoka kukatwa na mvunaji,Bila mtu wa kuikusanya.”’”+