Yeremia 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Itatandazwa juani na mbele ya mwezi na kwa jeshi lote la mbinguni ambalo wamelipenda na kulitumikia na kulifuata na kulitafuta na kuliinamia.+ Haitakusanywa, wala haitazikwa. Itakuwa kama mbolea juu ya ardhi.”+
2 Itatandazwa juani na mbele ya mwezi na kwa jeshi lote la mbinguni ambalo wamelipenda na kulitumikia na kulifuata na kulitafuta na kuliinamia.+ Haitakusanywa, wala haitazikwa. Itakuwa kama mbolea juu ya ardhi.”+