2 Nao mkono wa Midiani ukawa na nguvu juu ya Israeli.+ Kwa sababu ya Midiani, wana wa Israeli walijifanyia maghala ya chini ya udongo yaliyokuwa katika milima, na mapango na mahali palipo pagumu kufikiwa.+
6 Na watu wa Israeli wakaona kwamba wako katika shida kali,+ kwa sababu watu walikuwa wamebanwa sana; na watu wakajificha katika mapango+ na mashimo na miamba na ngome na mashimo ya maji.