3 Naye atawaambia, ‘Sikieni, Ee Israeli, mnakaribia leo kupigana na adui zenu. Msiache mioyo yenu iogope.+ Msiogope na kukimbia kwa wasiwasi au kutetemeka kwa sababu yao,+
11 Basi hao wawili wakajionyesha kwenye kituo cha mbele cha Wafilisti. Nao Wafilisti wakasema: “Tazama, Waebrania wanatoka katika matundu walimojificha.”+