1 Samweli 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na wanaume wa Israeli wakaona kwamba walikuwa hatarini, kwa sababu watu walikuwa chini ya mkazo mkali; basi watu wakajificha ndani ya mapango,+ mashimo, miamba, mahandaki, na hifadhi za maji.
6 Na wanaume wa Israeli wakaona kwamba walikuwa hatarini, kwa sababu watu walikuwa chini ya mkazo mkali; basi watu wakajificha ndani ya mapango,+ mashimo, miamba, mahandaki, na hifadhi za maji.