Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ‘Watakufa vifo vya magonjwa.+ Hawataombolezewa,+ wala hawatazikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi;+ nao watamalizwa kwa upanga na kwa njaa,+ na maiti zao kwa kweli zitakuwa chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa duniani.’+

  • Yeremia 25:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na wale waliouawa na Yehova siku hiyo hakika watakuwa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia.+ Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.’+

  • Ezekieli 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nami nitaiweka nyama yako juu ya milima na kuyajaza mabonde kwa takataka zako.+

  • Yoeli 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na mkaaji wa kaskazini+ nitamweka mbali kabisa kutoka juu yenu, nami nitamtawanya yeye katika nchi isiyo na maji na iliyo ukiwa, uso wake ukiwa kwenye bahari ya mashariki+ na upande wake wa nyuma kwenye bahari ya magharibi.+ Na uvundo kutoka kwake utapanda, na mnuko kutoka kwake utazidi kupanda;+ kwa maana Yeye atafanya jambo kuu katika yale ambayo Yeye hufanya.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki