Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nao wakaendelea kuacha amri+ zote za Yehova, Mungu wao, wakajitengenezea sanamu za kuyeyushwa,+ ndama wawili,+ na kutengeneza mti mtakatifu,+ nao wakaanza kuliinamia jeshi lote la mbinguni+ na kutumikia Baali;+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Bali alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata akatengeneza sanamu za kuyeyushwa+ za Mabaali.+

  • Yeremia 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wana wanaokota kuni, na akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumfanyia ‘malkia wa mbingu’ keki za dhabihu;+ na miungu mingine inamiminiwa matoleo ya kinywaji+ kusudi wanitie uchungu.+

  • Yeremia 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na nyumba za Yerusalemu na nyumba za wafalme wa Yuda zitakuwa kama mahali pa Tofethi,+ zitakuwa najisi, yaani, zile nyumba zote ambazo juu ya paa zake walilifukizia moshi wa dhabihu jeshi lote la mbinguni+ na kuimiminia miungu mingine toleo la kinywaji.’”+

  • Yeremia 44:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Kuhusu ninyi wanaume na wake zenu,+ ninyi wanawake pia mnasema kwa vinywa vyenu, (na kwa mikono yenu mmetimiza,) mkisema: “Bila shaka tutatimiza nadhiri zetu ambazo tumeweka,+ ili kumfukizia ‘malkia wa mbingu’+ moshi wa dhabihu na kummiminia matoleo ya kinywaji.”+ Ninyi wanawake bila shaka mtazitimiza nadhiri zenu, nanyi bila shaka mtazifanya nadhiri zenu.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki