Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na madhabahu zilizokuwa juu ya paa ya chumba cha dari+ cha Ahazi ambazo wafalme wa Yuda walitengeneza, na madhabahu+ ambazo Manase alitengeneza katika nyua mbili za nyumba ya Yehova, mfalme akazibomoa, kisha akaziponda hapo, naye akatupa mavumbi yake katika bonde la mto la Kidroni.

  • 2 Wafalme 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akavunja+ vipande-vipande zile nguzo takatifu, akaikata miti mitakatifu na mahali pake akajaza mifupa ya binadamu.

  • Zaburi 79:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 79 Ee Mungu, mataifa yameingia katika urithi wako;+

      Wamelitia unajisi hekalu lako takatifu;+

      Wamefanya Yerusalemu kuwa rundo la mabomoko.+

  • Ezekieli 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nami nitalitia mkononi mwa wageni walipore na kuwapa waovu wa dunia liwe nyara,+ nao hakika watalitia unajisi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki