12 Na madhabahu zilizokuwa juu ya paa ya chumba cha dari+ cha Ahazi ambazo wafalme wa Yuda walitengeneza, na madhabahu+ ambazo Manase alitengeneza katika nyua mbili za nyumba ya Yehova, mfalme akazibomoa, kisha akaziponda hapo, naye akatupa mavumbi yake katika bonde la mto la Kidroni.