2 Wafalme 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+ 2 Mambo ya Nyakati 36:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+ Yeremia 37:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na hakika Wakaldayo watarudi tena na kupiga vita juu ya jiji hili na kuliteka na kuliteketeza kwa moto.”+ Yeremia 52:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme na nyumba zote za Yerusalemu;+ na kila nyumba kubwa akaiteketeza kwa moto.+ Maombolezo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova ametimiza ghadhabu yake.+ Amemwaga hasira yake inayowaka.+Naye anawasha moto katika Sayuni, unaoteketeza misingi yake.+
9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+
19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+
8 Na hakika Wakaldayo watarudi tena na kupiga vita juu ya jiji hili na kuliteka na kuliteketeza kwa moto.”+
13 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme na nyumba zote za Yerusalemu;+ na kila nyumba kubwa akaiteketeza kwa moto.+
11 Yehova ametimiza ghadhabu yake.+ Amemwaga hasira yake inayowaka.+Naye anawasha moto katika Sayuni, unaoteketeza misingi yake.+