Kumbukumbu la Torati 32:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Iliyokuwa ikila mafuta ya dhabihu zao,+Ili kunywa divai ya matoleo yao ya kinywaji?+Na isimame na kuwasaidia ninyi.+Na iwe mahali pa maficho kwa ajili yenu.+ Yeremia 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wana wanaokota kuni, na akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumfanyia ‘malkia wa mbingu’ keki za dhabihu;+ na miungu mingine inamiminiwa matoleo ya kinywaji+ kusudi wanitie uchungu.+
38 Iliyokuwa ikila mafuta ya dhabihu zao,+Ili kunywa divai ya matoleo yao ya kinywaji?+Na isimame na kuwasaidia ninyi.+Na iwe mahali pa maficho kwa ajili yenu.+
18 Wana wanaokota kuni, na akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumfanyia ‘malkia wa mbingu’ keki za dhabihu;+ na miungu mingine inamiminiwa matoleo ya kinywaji+ kusudi wanitie uchungu.+