19 Na mkate wangu niliokuwa nimekupa wewe—unga laini na mafuta na asali nilivyokuwa nimekulisha+—uliviweka viwe harufu yenye kutuliza+ mbele yake, na ikaendelea kutukia hivyo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
20 Hapana; bali nasema kwamba vitu ambavyo mataifa huvitoa dhabihu wao huvitoa dhabihu kwa roho waovu,+ na si kwa Mungu; nami sitaki ninyi muwe washiriki pamoja na roho waovu.+