Ezekieli 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na mkate wangu niliokuwa nimekupa—uliotengenezwa kwa unga laini, mafuta, na asali niliyokupa ule—uliutoa pia kwa sanamu hizo ukiwa harufu inayopendeza.*+ Hivyo ndivyo ilivyokuwa,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
19 Na mkate wangu niliokuwa nimekupa—uliotengenezwa kwa unga laini, mafuta, na asali niliyokupa ule—uliutoa pia kwa sanamu hizo ukiwa harufu inayopendeza.*+ Hivyo ndivyo ilivyokuwa,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”