Hesabu 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini ikiwa mume wake amezifuta kabisa katika siku ya kusikia kwake maneno yoyote ya midomo yake yakiwa nadhiri zake au nadhiri ya kujiepusha ya nafsi yake, hazitasimama.+ Mume wake amezifuta, na Yehova atamsamehe.+ Zaburi 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wamejizungushia mafuta yao wenyewe;+Kwa vinywa vyao wamesema kwa majivuno;+ Methali 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi watakula matunda ya njia yao,+ nao watashiba mashauri yao wenyewe.+
12 Lakini ikiwa mume wake amezifuta kabisa katika siku ya kusikia kwake maneno yoyote ya midomo yake yakiwa nadhiri zake au nadhiri ya kujiepusha ya nafsi yake, hazitasimama.+ Mume wake amezifuta, na Yehova atamsamehe.+