5 Lakini ikiwa baba yake amemkataza katika siku ya kusikia kwake nadhiri zake zote au nadhiri zake za kujiepusha ambazo amefunga juu ya nafsi yake, haitasimama, bali Yehova atamsamehe, kwa sababu baba yake alimkataza.+
8 Lakini ikiwa mume wake atamkataza katika siku ya kusikia kwake,+ yeye pia ameifuta nadhiri yake iliyokuwa juu yake au ile ahadi ya midomo yake, iliyotolewa bila kufikiri, ambayo aliifunga juu ya nafsi yake, na Yehova atamsamehe.+