Hesabu 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini baba yake akimkataza baada ya kusikia kwamba binti yake ameweka nadhiri au nadhiri za kujinyima kitu fulani, basi hatatimiza nadhiri hizo. Yehova atamsamehe kwa sababu baba yake alimkataza.+
5 Lakini baba yake akimkataza baada ya kusikia kwamba binti yake ameweka nadhiri au nadhiri za kujinyima kitu fulani, basi hatatimiza nadhiri hizo. Yehova atamsamehe kwa sababu baba yake alimkataza.+