Hesabu 30:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini ikiwa baba yake amemkataza katika siku ya kusikia kwake nadhiri zake zote au nadhiri zake za kujiepusha ambazo amefunga juu ya nafsi yake, haitasimama, bali Yehova atamsamehe, kwa sababu baba yake alimkataza.+
5 Lakini ikiwa baba yake amemkataza katika siku ya kusikia kwake nadhiri zake zote au nadhiri zake za kujiepusha ambazo amefunga juu ya nafsi yake, haitasimama, bali Yehova atamsamehe, kwa sababu baba yake alimkataza.+