Hesabu 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini ikiwa mume wake alifuta kabisa nadhiri zozote au nadhiri yoyote ya kujinyima ya mke wake siku aliposikia kuzihusu, mke wake hatatimiza nadhiri hizo.+ Mume wake alizifuta, na Yehova atamsamehe mke huyo.
12 Lakini ikiwa mume wake alifuta kabisa nadhiri zozote au nadhiri yoyote ya kujinyima ya mke wake siku aliposikia kuzihusu, mke wake hatatimiza nadhiri hizo.+ Mume wake alizifuta, na Yehova atamsamehe mke huyo.