Hesabu 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini ikiwa mume wake amezifuta kabisa katika siku ya kusikia kwake maneno yoyote ya midomo yake yakiwa nadhiri zake au nadhiri ya kujiepusha ya nafsi yake, hazitasimama.+ Mume wake amezifuta, na Yehova atamsamehe.+
12 Lakini ikiwa mume wake amezifuta kabisa katika siku ya kusikia kwake maneno yoyote ya midomo yake yakiwa nadhiri zake au nadhiri ya kujiepusha ya nafsi yake, hazitasimama.+ Mume wake amezifuta, na Yehova atamsamehe.+