Ezekieli 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na mkate wangu niliokuwa nimekupa wewe—unga laini na mafuta na asali nilivyokuwa nimekulisha+—uliviweka viwe harufu yenye kutuliza+ mbele yake, na ikaendelea kutukia hivyo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
19 Na mkate wangu niliokuwa nimekupa wewe—unga laini na mafuta na asali nilivyokuwa nimekulisha+—uliviweka viwe harufu yenye kutuliza+ mbele yake, na ikaendelea kutukia hivyo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”