Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Nao wakaendelea kumtia uchungu kwa mahali pao pa juu,+

      Nao wakaendelea kumchochea awe na wivu kwa sanamu zao za kuchongwa.+

  • Isaya 57:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 wale wanaojiwasha tamaa kati ya miti mikubwa,+ chini ya kila mti wenye majani mengi,+ wakiwaua watoto katika mabonde ya mito chini ya mipasuko ya miamba?+

  • Ezekieli 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ wakati ambapo waliouawa kati yao watakuwa katikati ya sanamu zao za mavi,+ kuzunguka pande zote za madhabahu zao,+ juu ya kila kilima kirefu,+ juu ya vilele vyote vya milima+ na chini ya kila mti wenye majani mengi+ na chini ya kila mti mkubwa wenye matawi mengi,+ mahali ambapo wametoa harufu yenye kutuliza kwa sanamu zao zote za mavi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki