Waamuzi 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kisha watu wa kabila la Dani wakaanza kuabudu ile sanamu ya kuchongwa,+ naye Yonathani+ mwana wa Gershomu,+ mwana wa Musa, na wanawe wakawa makuhani wa kabila la Dani mpaka wakaaji walipopelekwa uhamishoni.
30 Kisha watu wa kabila la Dani wakaanza kuabudu ile sanamu ya kuchongwa,+ naye Yonathani+ mwana wa Gershomu,+ mwana wa Musa, na wanawe wakawa makuhani wa kabila la Dani mpaka wakaaji walipopelekwa uhamishoni.