4 Baada ya kumrudishia mama yake fedha hizo, mama yake akachukua vipande 200 vya fedha na kumpa mfua fedha. Naye akatengeneza sanamu ya kuchongwa na sanamu ya chuma;* na sanamu hizo zikawekwa katika nyumba ya Mika.
18 Nao wakaingia katika nyumba ya Mika wakachukua ile sanamu ya kuchongwa, ile efodi,* zile terafimu,* na ile sanamu ya chuma.* Kuhani huyo akawauliza, “Mnafanya nini?”