Kumbukumbu la Torati 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndiyo sababu Lawi hana fungu na urithi pamoja na ndugu zake.+ Yehova ndiye urithi wake, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+ Yoshua 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kabila la Walawi peke yake ndilo ambalo hakulipatia urithi.+ Matoleo ya Yehova Mungu wa Israeli yaliyotolewa kwa njia ya moto+ ndiyo urithi wao,+ kama vile ambavyo amewaahidi.+
9 Ndiyo sababu Lawi hana fungu na urithi pamoja na ndugu zake.+ Yehova ndiye urithi wake, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+
14 Kabila la Walawi peke yake ndilo ambalo hakulipatia urithi.+ Matoleo ya Yehova Mungu wa Israeli yaliyotolewa kwa njia ya moto+ ndiyo urithi wao,+ kama vile ambavyo amewaahidi.+