Yoshua 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Musa hakuwapa watu wa kabila la Lawi urithi.+ Urithi wao ni dhabihu zinazochomwa kwa moto zinazotolewa kwa Yehova Mungu wa Israeli,+ kama alivyowaahidi.+
14 Musa hakuwapa watu wa kabila la Lawi urithi.+ Urithi wao ni dhabihu zinazochomwa kwa moto zinazotolewa kwa Yehova Mungu wa Israeli,+ kama alivyowaahidi.+