19Basi ikawa katika siku hizo kwamba hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Na ikawa kwamba Mlawi fulani alikuwa anakaa kwa muda katika sehemu za mbali zaidi za eneo lenye milima la Efraimu.+ Baadaye akachukua suria+ kutoka Bethlehemu+ katika Yuda awe mke wake.
1Basi ikawa katika siku ambazo waamuzi+ walitekeleza haki, njaa+ ikatokea nchini, na mwanamume mmoja akatoka Bethlehemu+ katika Yuda, akakae akiwa mgeni katika nchi ya Moabu,+ yeye na mke wake na wanawe wawili.
2 “Nawe, Ee Bethlehemu Efratha,+ wewe uliye mdogo sana kuwa kati ya maelfu ya Yuda,+ kutoka kwako+ atanijia yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli,+ ambaye asili yake ni kutoka nyakati za kale, kutoka siku za wakati usio na kipimo.+