Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+

  • Waamuzi 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi ikawa katika siku hizo kwamba hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Na ikawa kwamba Mlawi fulani alikuwa anakaa kwa muda katika sehemu za mbali zaidi za eneo lenye milima la Efraimu.+ Baadaye akachukua suria+ kutoka Bethlehemu+ katika Yuda awe mke wake.

  • Ruthu 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Basi ikawa katika siku ambazo waamuzi+ walitekeleza haki, njaa+ ikatokea nchini, na mwanamume mmoja akatoka Bethlehemu+ katika Yuda, akakae akiwa mgeni katika nchi ya Moabu,+ yeye na mke wake na wanawe wawili.

  • Mika 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nawe, Ee Bethlehemu Efratha,+ wewe uliye mdogo sana kuwa kati ya maelfu ya Yuda,+ kutoka kwako+ atanijia yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli,+ ambaye asili yake ni kutoka nyakati za kale, kutoka siku za wakati usio na kipimo.+

  • Mathayo 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baada ya Yesu kuzaliwa katika Bethlehemu+ ya Yudea siku za Mfalme Herode,+ tazama! wanajimu+ kutoka sehemu za mashariki walikuja Yerusalemu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki