1 Basi katika siku ambazo waamuzi+ walikuwa wakitekeleza hukumu, kulikuwa na njaa kali nchini; na mwanamume fulani akatoka Bethlehemu+ huko Yuda akahamia katika mashamba ya Moabu akiwa mgeni,+ yeye, pamoja na mke wake, na watoto wake wawili wa kiume.