3 Nawe utasema, ‘Enyi milima ya Israeli, sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova:+ Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameiambia milima na vilima,+ vijito na mabonde: “Tazama mimi! Ninaleta upanga juu yenu, nami hakika nitaharibu mahali penu pa juu.+