Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 49:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kama ilivyotokea katika maangamizi ya Sodoma na Gomora na miji yake jirani,”+ Yehova amesema, “vivyo hivyo hakuna mtu atakayekaa hapo, na hakuna mwana wa binadamu atakayekaa ndani yake akiwa mgeni.+

  • Ezekieli 35:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kama vile tu ulivyoshangilia urithi wa nyumba ya Israeli kwa sababu ilifanywa ukiwa, nitakutendea jambo hilohilo.+ Utakuwa mahame yenye ukiwa, Ee eneo lenye milima la Seiri, naam, Edomu yote, naam, yote pia;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”+

  • Obadia 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wanaume wako wenye nguvu wataingiwa na woga,+ Ee Temani,+ kwa kuwa kila mmoja atakatiliwa mbali+ kutoka katika eneo lenye milima la Esau, kwa sababu ya kuuawa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki