10 Haitazimwa wakati wa mchana wala wakati wa usiku; moshi wake utaendelea kupaa mpaka wakati usio na kipimo.+ Atakauka kutoka kizazi hata kizazi;+ milele na milele hakuna atakayevuka katikati yake.+
33 “Na Hasori+ atakuwa pango la mbwa-mwitu,+ mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo. Hakuna mtu atakayekaa humo, na hakuna mwana wa binadamu atakayekaa humo akiwa mgeni.”+