Mwanzo 19:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Yehova akanyesha kiberiti na moto kutoka kwa Yehova, kutoka mbinguni, juu ya Sodoma na juu ya Gomora.+ Mathayo 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa kweli mimi ninawaambia ninyi, Itakuwa rahisi zaidi kwa nchi ya Sodoma+ na Gomora kwenye Siku ya Hukumu kuliko kwa jiji hilo.+ 2 Petro 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na kwa kuyageuza majiji ya Sodoma na Gomora kuwa majivu aliyahukumia adhabu,+ akiweka kielelezo kwa watu wasiomwogopa Mungu juu ya mambo yatakayokuja;+
24 Ndipo Yehova akanyesha kiberiti na moto kutoka kwa Yehova, kutoka mbinguni, juu ya Sodoma na juu ya Gomora.+
15 Kwa kweli mimi ninawaambia ninyi, Itakuwa rahisi zaidi kwa nchi ya Sodoma+ na Gomora kwenye Siku ya Hukumu kuliko kwa jiji hilo.+
6 na kwa kuyageuza majiji ya Sodoma na Gomora kuwa majivu aliyahukumia adhabu,+ akiweka kielelezo kwa watu wasiomwogopa Mungu juu ya mambo yatakayokuja;+